forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
396 B
Markdown
20 lines
396 B
Markdown
|
# Daudi
|
||
|
|
||
|
Daudi alikuwa mwana wa Yese, aliye kuwa uzao wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# Ahinoamu ... Abigail ... Maaka ... Hagithi ... Abitali ... Egla
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanawake.
|
||
|
|
||
|
# Talmai ... Shefatia ... Ithraeamu
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# Danieli
|
||
|
|
||
|
Huyu mtu ana jina kama la nabii wa Israeli lakini ni mtu tofauti.
|
||
|
|
||
|
# Egla mkewe
|
||
|
|
||
|
"Egla, mke wa Daudi." Daudi alikuwa na zaidi ya mke mmoja. "Mke wa Daudi Egla"
|