forked from WA-Catalog/sw_tn
9 lines
361 B
Markdown
9 lines
361 B
Markdown
|
# Hilikia ... Seraia ... Yehozadaki
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
|
||
|
|
||
|
Nguvu ya Nebukadneza kupitia jeshi lake inafafanuliwa kama sehemu ya mwili wake ("mkono") alitumika kuongoza jeshi lake. " aliruhusu jeshi la Nebukadneza kushinda majeshi ya Yuda na Yerusalemu na kuchukua watu kwenda matekani."
|
||
|
|