forked from WA-Catalog/sw_tn
9 lines
371 B
Markdown
9 lines
371 B
Markdown
|
# Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi
|
||
|
|
||
|
Tafsiri zingine, pamoja na ULB na UDB, za usisha "Wana wana" ili kuweka wazi kuwa Shemu, Hamu, na Yafethi walikuwa ni ndugu na wana wa Nuhu. Lasihivyo, msomaji ata dhani kila mtu aliwakilisha kizazi kimoja mbali na Nuhu, babu yao.
|
||
|
|
||
|
# Enoshi, Kenani, Mahalaleli, Yaredi ... Methusela
|
||
|
|
||
|
Haya majina ni orodha ya mababu.
|
||
|
|