Swala, "fahari" na "kiburi kilichojaa" linarejea kwa mtu anayefikiria kwa juu zaidi yeye mwenyewe, na hasa, anafikiria kwamba yeye ni bora kuliko watu wengine.
* Mtu mwenye fahari mara nyingi hakubali makosa yake* Yeye siyo mnyenyekevu.
* Kiburi kinaweza kusababisha kumwasi Mungu kwa njia zingine.
* Swala "fahari" na "kiburi" vinaweza pia kutumika kwa maana chanya, kama vile kuwa "fahari ya" ambacho yoyote yule atakuwa amefanikiwa na kuwa "fahari ya" watoto wako* Elezo hili, "kuwa na kiburi katika kazi yako" inamaanisha kutafuta furaha unapofanya kazi yako vizuri.
* Mtu yeyote anaweza kuwa na fahari kwa alichokifanya pasipo kuwa na kiburi kuhusu jambo hilo* Lugha zingine zina maneno tofauti kwa maana hizi mbili tofauti za "kiburi."
* Swala hili "kiburi" mara nyingi ni hasi, ikiwa na maana ya "kiburi" au "kujivuna" au "umuhimu wa mtu binafsi."
* Suala hili "hofu" na "woga" linahusika na hisia mbaya kwa mtu alizonazo wakati kuna tishio la madhara kwake mwenyewe au kwa wengine.
* Suala hili "hofu" pia linaweza kuhusika na heshima ya kina na hofu kwa mtu aliye na mamlaka.
* Neno hili "hofu ya Yahweh," na linahusiana na suala "hofu ya Mungu" na "hofu ya Bwana," linahusika na kumheshimu Mungu kwa kina na kuonyesha heshima kwa kumtii yeye* Hofu hii imepewa motisha kwa kujua kwamba Mungu ni mtakatifu na huchukia dhambi.
* Biblia inafundisha kwamba mtu anayemwogopa Yahweh atakuwa mwenye busara.
* Inategemea na mazingira, "kuwa na hofu" inaweza kutafsiriwa kama "kuwa na woga" au "heshima ya kina" au"kustahi" au kuwa na hofu ya."
* Suala hili "woga" linaweza kutafsiriwa kama "hofu" au "kuogopa" au "waoga."
* Hukumu hii, "Hofu ya Mungu huanguka juu ya wote" inaweza kutafsiriwa kama, "Ghafla wote waliona hofu ya kina kutoa heshima kwa Mungu" au "Ghafla, wote waliona mshangao sana na walimheshimu Mungu kwa kina" au "Kisha Haki, wote waliona woga kwa Mungu
Mungu wa uongo ni kitu ambacho watu hukiabudu badala ya Mungu mmoja wa kweli* Suala hili "mungu wa kike" linahusika hasa kwa mungu wa uongo wa jinsia ya kike
* Hawa miungu wa uongo au miungu wa kike hawakuwepo* Yahweh ni Mungu pekee.
* Watu wakati mwingine hufanya vitu kuwa sanamu kuabudu kama alama ya miungu yao ya uongo.
* Katika Biblia, watu wa Mungu mara kwa mara hugeuka kutoka kumtii yeye ili kuabudu miungu ya uongo.
* Mapepo mara nyingi hudanganya watu katika kuamini kwamba miungu ya uongo na sanamu wanayoiabudu ina nguvu.
* Baal, Dagon, na Molech walikuwa watatu wa miungu mingi ya uongo ambayo waliiabudu watu katika nyakati za Biblia.
* Asherah na Artemis (Diana) walikuwa miungu wawili wa kike ambayo watu wa kale waliiabudu.
* Suala hili linaweza kutafsiriwa kwa neno au maneno ambayo ni ya lugha ya asili au karibu na lugha ya kimataifa kutumia kuhusisha sayari ya nchi ambayo juu yake tunaishi.
* Inategemea na utamaduni, "nchi" inaweza kutafsiriwa pia kama, "ulimwengu" au" nchi" au "uchafu" au "udongo."
* Wakati ilipotumika kimafumbo, "nchi" inaweza kutafsiriwa kama, "watu juu ya nchi" au "watu huishi juu ya nchi" au "kila kitu juu ya nchi."
* Njia za kutafsiri "kidunia" inaweza kuhusisha, "kimwili" au "vitu vya nchi" au "vinavyoonekana."