forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
357 B
Markdown
16 lines
357 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa.
|
||
|
|
||
|
# maji yaliyohai
|
||
|
|
||
|
Kwa kawaida hii inamaanisha maji yatiririkayo, tofauti na maji yaliyotuama.
|
||
|
|
||
|
# bahari ya mashariki
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha Bahari ya chumvi, iliyomashariki mwa Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# bahari ya magharibi
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha bahari ya Mediterania.
|