forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
346 B
Markdown
20 lines
346 B
Markdown
|
# binti Sayuni
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina lingine kwa Yerusalemu linalorejerea kwa mji kama binti wa mji wa Sayuni ya mbinguni.
|
||
|
|
||
|
# kupiga kambi
|
||
|
|
||
|
kuweka mahema na kuyatumia
|
||
|
|
||
|
# Hili ni tamko la Yahwe
|
||
|
|
||
|
Kifungu hiki wakati mwingine kinatafasiriwa kama asema Yahwe
|
||
|
|
||
|
# mataifa watajikusanya kwa Yahwe
|
||
|
|
||
|
"mataifa yatamtii Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# katika siku hiyo
|
||
|
|
||
|
"kwa wakati ule"
|