forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
336 B
Markdown
8 lines
336 B
Markdown
|
# Wale waliobaki waliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa mmoja aliyepanda juu ya farasi
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mpandaji wa farasi aliwaua wanajeshi waliosalia wa mnyama kwa upanga uliotoka kinywani mwake"
|
||
|
|
||
|
# uliotoka kinywani mwake
|
||
|
|
||
|
Ubapa wa upanga ulikuaunchomoza kinywani mwake. Upanga wenyewe haukua ukisogea.
|