forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
383 B
Markdown
12 lines
383 B
Markdown
|
# Lakini hakika Mungu amesikia; amevuta nadhari
|
||
|
|
||
|
Vishazi hivi viwili vina maana za kufanana na zinatumika pamoja kusisitiza kuwa Mungu amesikia ombi lake. "Lakini hakika Mungu amesikia ombi langu"
|
||
|
|
||
|
# sauti ya ombi langu
|
||
|
|
||
|
Hapa ombi la mwandishi limepewa sifa ya kuwa na sauti. "ombi langu"
|
||
|
|
||
|
# au uaminifu wake wa agano kutoka kwangu
|
||
|
|
||
|
"au kugeuza uaminifu wake wa agano kutoka kwangu"
|