forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
582 B
Markdown
32 lines
582 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
||
|
|
||
|
# katika masikio ya mpumbavu
|
||
|
|
||
|
"ambapo mpumbavu anaweza kukusikia"
|
||
|
|
||
|
# Kale
|
||
|
|
||
|
ya zamani sana
|
||
|
|
||
|
# jiwe la mpaka
|
||
|
|
||
|
jiwe kubwa ambalo linaonesha ardhi ya mtu mwingine inapokomea na mwanzo wa ardhi ya mtu mwingine. angalia 22:28
|
||
|
|
||
|
# nyang'anya
|
||
|
|
||
|
Maana yake kuanza kutumia ardhi ( au kitu) ambacho ni cha mtu mwingine
|
||
|
|
||
|
# yatima
|
||
|
|
||
|
watoto ambao wamefiwa na wazazi
|
||
|
|
||
|
# mkombozi wao
|
||
|
|
||
|
Yahwe
|
||
|
|
||
|
# atatetea shitaka lao dhidi yako
|
||
|
|
||
|
"atawalinda yatima dhidi yako" au "atahakikisha kuwa yatima wanapokea haki na wewe anakuadhibu"
|