forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
517 B
Markdown
24 lines
517 B
Markdown
|
# maneno yangu ni uzima
|
||
|
|
||
|
"maneno yangu yanaleta uzima"
|
||
|
|
||
|
# kwa wale wanaozipata
|
||
|
|
||
|
"kwa wale wanaozifahamu na kuzitenda"
|
||
|
|
||
|
# afya katika mwili wao wote
|
||
|
|
||
|
"maneno yangu yataleta afya katika mwili wote kwa wale wanaoyapata"
|
||
|
|
||
|
# utunze moyo wako salama na kuulinda
|
||
|
|
||
|
"tunza akili yako salama na kuyalinda mawazo yako"
|
||
|
|
||
|
# kwa bidii yote
|
||
|
|
||
|
"kwa uthabiti na nguvu"
|
||
|
|
||
|
# kutoka kwenye moyo wako hububujika chemchemi za uzima
|
||
|
|
||
|
"kila kitu unachosema huja kutoka katika mawazo yako" au "mawazo yako hubainisha mwenendo wa maisha yako"
|