forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
473 B
Markdown
20 lines
473 B
Markdown
|
# Mtu yeyote atakayefanya nadhiri, au kuapa kwa kiapo
|
||
|
|
||
|
Virai hivi viinamaanisha kitu kilekile. Vimetumika kuonesha unuhimu wa kiapo.
|
||
|
|
||
|
# ili kufunga nafsi yake
|
||
|
|
||
|
"kujitoa ili kutimiza kiapo" au "kuahidi kufanya kitu fulani"
|
||
|
|
||
|
# asivunje neno lake. HeAtafanya sawa na ahadi yake imtokayo kinywani mwake
|
||
|
|
||
|
"Lazima atimize ahadi yake"
|
||
|
|
||
|
# asivunje neno lake
|
||
|
|
||
|
Lazima atimize ahadi zake"
|
||
|
|
||
|
# sawa na ahadi yake imtokayo kinywani mwake
|
||
|
|
||
|
"atafanya kila kitu anachosema kuwa atakifanya"
|