forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
385 B
Markdown
16 lines
385 B
Markdown
|
# Mungu wa wote wenye mwili
|
||
|
|
||
|
"Mungu awapaye wanadamu pumzi"
|
||
|
|
||
|
# mtu awe juu ya watu
|
||
|
|
||
|
"mtu wa kuwaongoza watu"
|
||
|
|
||
|
# mtu ambaye atatoka na kuingia kuja kwao na kuwatoa kisha kuwarudisha
|
||
|
|
||
|
mtu ambaye atawaongoza watu wote na kuongoza jeshi katika vita
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba watu wako wasije kuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa watu wasipokuwa na kiongozi watazungukazunguka
|