forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
298 B
Markdown
8 lines
298 B
Markdown
|
# Hata kama Balaki atanipa ikulu yake ikiwa imejaa fedha
|
||
|
|
||
|
Balaamu anasisitiza kuwa hakuna kitakachomfanya avunje utii wake kwa BWANA
|
||
|
|
||
|
# sitaweza kufanya dhidi ya maneno ya BWANA... na kufanya pungufuau zaidi ya kile anachoniambia.
|
||
|
|
||
|
Inamaanishsa kuwa Balaamu hataacha kumtii BWANA kwa namna yeyote.
|