forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
389 B
Markdown
16 lines
389 B
Markdown
|
# Heshiboni ... mji wa Sihoni
|
||
|
|
||
|
Haya ni majiina mawili yanayomaanisha mji uleule
|
||
|
|
||
|
# Mji wa Sihoni ujengwe na kuimarishwa tena
|
||
|
|
||
|
"Mtu aujenge mji wa Sihoni na kuimarisha tena mji wa Sihoni"
|
||
|
|
||
|
# Moto uliwaka toka mji wa Heshiboni, moto kutoka mji wa Sihoni
|
||
|
|
||
|
"Mfalme Sihoni alikuwa na jeshi imara kutoka mji wa Heshiboni"
|
||
|
|
||
|
# Uliteketeza Ari ya Moabu
|
||
|
|
||
|
"uliharibu mji wa Ari katika nchi ya Moabu"
|