forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
515 B
Markdown
20 lines
515 B
Markdown
|
# kujidhiri kwake
|
||
|
|
||
|
"kujiweka kwake wakfu"
|
||
|
|
||
|
# chochote atakachotoa
|
||
|
|
||
|
"kama ataamua kutoa sadaka yeyote ya nyongeza"
|
||
|
|
||
|
# lazima atafanya kama alivyoapa
|
||
|
|
||
|
"Lazima aendelee kutii matakwa ya kiapo alichoaapa"
|
||
|
|
||
|
# lazima atafanya kama alivyoapa ... kulinda ahadi yake kama ilivyoaanishwa katika sheria ya mnadhiri.
|
||
|
|
||
|
Virai hivi viwili kimsingi vina maana moja. Vimetumika kuonyesha msisitizo kuwa lazima atii sheria za kiapo.
|
||
|
|
||
|
# kama ilivyoaanishwa katika sheria ya mnadhiri
|
||
|
|
||
|
"kama ahadi ya sheria ya mnadhiri inavyoainisha"
|