forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
620 B
Markdown
20 lines
620 B
Markdown
|
# Wakawachukua wale wanaume
|
||
|
|
||
|
"Wakawakusanya wale wanaume pamoja"
|
||
|
|
||
|
# Waliokuwa wameandikwa kwa majina
|
||
|
|
||
|
"Ambao majina yao walikuwa wameyaandika"
|
||
|
|
||
|
# Siku ya kwanza ya mwezi wa pili
|
||
|
|
||
|
"Siku ya 1 ya mwezi wa 2." Huu ni mwezi wa pili wa kalenda ya Kihebrania. Siku ya kwanza iko karibu na siku ya katikati ya mwezi wa Apili katika kalenda ya kimagharibi.
|
||
|
|
||
|
# Kishsa kila mwanamume ... alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na familia kutoka katika ukoo
|
||
|
|
||
|
Sentensi ya pili inafanana na sentensi ya kwanza ila imetumika kuongeza ufafanuzi.
|
||
|
|
||
|
# Alitakiwa kutaja
|
||
|
|
||
|
"Kutaja" inamaanisha "kusema." "Kila mwanamume alitakiwa kusema"
|