forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
467 B
Markdown
16 lines
467 B
Markdown
|
# Nitaliweka hema langu katikati yenu
|
||
|
|
||
|
"Nitaweka mahali pa makao yangu miongoni mwenu"
|
||
|
|
||
|
# Nami sitachukizwa nanyi
|
||
|
|
||
|
"Nitawakubali ninyi"
|
||
|
|
||
|
# Nitatembea miongoni mwenu
|
||
|
|
||
|
"Nami nitawakubali ninyi"
|
||
|
|
||
|
# Nimevunja makomeo ya nira yenu
|
||
|
|
||
|
Mungu anauzungumzia utumwa wao kana kwamba kulikuwa ni kuvaa nira ambayo huivaa wanyama ili kufanya kazi ngumu. Kuvunja makomeo ya nira huwakilisha kuwaweka wao huru. : "Nimewaweka huru kutoka katika kazi ngumu walizowalazimisha kuzifinya"
|