forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
617 B
Markdown
20 lines
617 B
Markdown
|
# Taarifa kwa Ujumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula
|
||
|
|
||
|
# Mapezi
|
||
|
|
||
|
pezi , ni sehemu iliyobapa ambayo samaki huitumia kuogelea majini.
|
||
|
|
||
|
# Magamba
|
||
|
|
||
|
Ni mabamba madogo madogo yanayoufunika mwili wa samaki.
|
||
|
|
||
|
# viumbe wote hai wasio na mapezi na magamba waliomo baharini au mitoni
|
||
|
|
||
|
"wanyama wote waishio baharini au mitoni wasio na mapezi na magamba"
|
||
|
|
||
|
# watakuwa chukizo kwenu
|
||
|
|
||
|
Yahweh anawaamru watu kuwakataa na kudharau kuwal a viumbe hawa. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapsa mwawachukie hao" au "lazima mukatae kabisakabisa"
|