forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
508 B
Markdown
16 lines
508 B
Markdown
|
# Mungu akaona yale waliyoyafanya
|
||
|
|
||
|
"Mungu alielewa kuwa waliacha kufanya vitendo mabaya"
|
||
|
|
||
|
# wakaziacha njia zao mbaya
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia watu wameacha kutenda dhambi kama wamegeukia kwenye kitu.
|
||
|
|
||
|
# Mungu alibadili mawazo yake juu ya adhabu aliyowaambia angewafanyia,
|
||
|
|
||
|
"Mungu alibadili mawazo yake juu ya adhabu aliyowaambia angewafanyia" au "Mungu aliamua kuwaadhibu kama alivyosema"
|
||
|
|
||
|
# nae hakufanya hivyo
|
||
|
|
||
|
Nini Mungu alipaswa kufanya inaweza kufanywa wazi. AT "na hakuwaadhibu' au 'na hakuwaangamiza"
|