forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
701 B
Markdown
16 lines
701 B
Markdown
|
# Jenga, jenga! Safisha njia! Ondoa vitu vyote vya kujikwaa kutoka katika nja ya watu wangu
|
||
|
|
||
|
Yahwe ana nguvu na haraka ya kwamba njia ya wazi na tambarare iweze kuwepo kwa watu kurudi kwake na kufungulia vikwazo kwa kumuabudu Yahwe. Hii inaitikia 40:3.
|
||
|
|
||
|
# Kwa maana hiki ndicho Yule aliye juu na kuinuliwa asemavyo
|
||
|
|
||
|
Maneno "juu" na "kuinuliwa" kimsingi ina maana moja hapa na inasisitiza Yahwe kuinuliwa.
|
||
|
|
||
|
# kufufua roho ya wanyenyekevu, na kufufua moyo ya wenye majuto makali
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwili ina maana moja na inasisitiza ya kwamba Yahwe atawatia nguvu na kutia moyo wale ambao wanajishusha mbele yake.
|
||
|
|
||
|
# roho ... moyo
|
||
|
|
||
|
Hapa hizi zina maana ya mawazo ya mtu na hisia, sio roho na moyo kihalisia.
|