forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
427 B
Markdown
20 lines
427 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Nabii Hosea anazungumza.
|
||
|
|
||
|
# Samaria itakuwa na hatia, kwa sababu ameasi dhidi ya Mungu wake
|
||
|
|
||
|
"Samaria" inamaanisha watu wa mji wa Samaria walio na hatia ya uasi dhidi ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Wataanguka
|
||
|
|
||
|
Watu watakufa.
|
||
|
|
||
|
# kwa upanga
|
||
|
|
||
|
Vitani.
|
||
|
|
||
|
# watoto wao wadogo watavunjwa, na wanawake wao wajawazito watararuriwa wazi
|
||
|
|
||
|
"adui watawavunja watoto wao wadogo vipande vipande na kuwararua wazi wazi wanawake waajawazito"
|