forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
685 B
Markdown
28 lines
685 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Bwana anazungumza.
|
||
|
|
||
|
# Efraimu alipozungumza
|
||
|
|
||
|
Hosea ametumia neno Efraimu kumaanisha ufalme mzima wa kaskazini, japokuwa lilikuwa jina la moja ya makabila kumi na mbili.
|
||
|
|
||
|
# kulikuwa na tetemeko
|
||
|
|
||
|
"kulikuwa na tetemeko kati ya watu"
|
||
|
|
||
|
# Alijikuza katika Israeli
|
||
|
|
||
|
"kujikuza" ni kujifanya wa muhimu.
|
||
|
|
||
|
# lakini akawa na hatia kwa sababu ya ibada ya Baali, naye akafa
|
||
|
|
||
|
Watu wa Efraimu walipoanza kuabudu Baali wakawa dhaifu na adui zao wakawashinda.
|
||
|
|
||
|
# Sasa wanafanya dhambi zaidi na zaidi.
|
||
|
|
||
|
Hawa ni watu wa kabila la Efraimu na taifa zima la Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Watu hawa watoao dhabihu na kumbusu ndama
|
||
|
|
||
|
Sehemu ya kuabudu sanamu ni kwa kuibusu sanamu ambayo ni sanamu ya ndama.
|