forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
504 B
Markdown
16 lines
504 B
Markdown
|
# Mfalme wa Samaria ataangamizwa
|
||
|
|
||
|
"Waashuru watamwangamiza mfalme wa Samaria"
|
||
|
|
||
|
# kama chipu cha kuni juu ya uso wa maji
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana kuwa mfalme wa Samaria atakuwa hawezi kitu kama kipande kidpgo cha kuni kinachoelea juu ya maji"
|
||
|
|
||
|
# Sehemu za juu za uovu zitaharibiwa
|
||
|
|
||
|
"Waashuru wataharibu sehemu za juu za Israeli ambazo watu walifanya uovu"
|
||
|
|
||
|
# Watu wataiambia milima, "Tufunike sisi!" na kwa vilima, "Tuangukieni!"
|
||
|
|
||
|
"'watu watasema 'tunatamani milima itufunike!' na 'tunatamani vilima vituangukie!'"
|