forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
527 B
Markdown
24 lines
527 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Bwana anazungumza.
|
||
|
|
||
|
# Nataka kuiponya Israeli
|
||
|
|
||
|
Kuifanya Israeli imtii Mungu tena na kitendo cha kupokea baraka kinazungumzwa kama kitendo cha uponyaji.
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu wanafanya udanganyifu
|
||
|
|
||
|
Watu walikuwa wanauza na kununua bidhaa kwa udanganyifu.
|
||
|
|
||
|
# kundi la wanyang'anyi
|
||
|
|
||
|
Hili ni kundi la watu wanaowavamia watu wengine bila sababu.
|
||
|
|
||
|
# matendo yao huwazunguka
|
||
|
|
||
|
Haya matendo yao maovu yanafananishwa na watu wanaliotayari kuwashitaki kwa maovu yao.
|
||
|
|
||
|
# yapo mbele ya uso wangu.
|
||
|
|
||
|
"Uso" huu ni uwepo wa Mungu.
|