forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
783 B
Markdown
24 lines
783 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Bwana anazungumza kuhusu Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Najua Efraimu, na Israeli hajajificha kwangu
|
||
|
|
||
|
"Efraimu" na "Israeli" ni watu ambao wanaishi kaskazini mwa ufalme wa Israeli. Hapa Mungu anasema kuwa anawafahamu wao ni akina nani na nini wanafanya.
|
||
|
|
||
|
# Efraimu, sasa umekuwa kama kahaba
|
||
|
|
||
|
Efraimu amesimama kama kahaba kwa sababu watu sio waaminifu kwa Mungu kama vile kahaba sio mwaminifu kwa mwanaume mmoja.
|
||
|
|
||
|
# maana mawazo ya uzinzi yako ndani yao
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa wanatamani kutokuwa waaminifu kwa Mungu. Wanataka kuabudu miungu.
|
||
|
|
||
|
# kumgeukia Mungu ... hawatamjua Bwana.
|
||
|
|
||
|
"kunigeukia mimi ... hawakunijua mimi" au "kunigeukia mimi ... hawakunijua mimi, Bwana."
|
||
|
|
||
|
# na hawatamjua Bwana
|
||
|
|
||
|
Israeli hawakumtii tena Mungu kwa namna yoyote. Hawakumtambua Bwana kama Mungu wao.
|