forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
698 B
Markdown
24 lines
698 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi:
|
||
|
|
||
|
Bwana anazungumza kuhusu Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Mmekuwa mtego huko Mizpa na wavu uliosambazwa juu ya Tabori.
|
||
|
|
||
|
Mtego na wavu ni vifaa vinavotumika kukatatia mawindo. Misoa na Tabori yalikuwa maeneo ya kuabudia miungu katika nchi ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Waasi husimama sana katika mauaji
|
||
|
|
||
|
"waasi" ni wale wote waliomuasi Bwana na mauaji inaelezea namna ambavyo mauaji ya watu wasio na hatia yanafanyika ikiwemo kutoa kafara kwa miungu ya kipagani.
|
||
|
|
||
|
# Waasi
|
||
|
|
||
|
Mtafsiri anaweza kuiweka hii kama "ninyi waasi" kwa sababu Mungu anazungumza juu ya watu waasi wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# mauaji
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya nakala za kisasa za kiebrania neno hili limesimama kama uovu.
|
||
|
|
||
|
# nitawaadhibu wote
|
||
|
|
||
|
"Nitawaadhibu ninyi nyote"
|