forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
656 B
Markdown
32 lines
656 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anajibu maombi ya Habakuki.
|
||
|
|
||
|
# Angalia mataifa na uyachunguze
|
||
|
|
||
|
"Jifunze mambo yanayoendelea katika mataifa mengine"
|
||
|
|
||
|
# upana wa nchi
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuwa namaana 1) kila mahali katika Yuda au 2) kila mahali duniani
|
||
|
|
||
|
# nyang'anya
|
||
|
|
||
|
chukua kwa nguvu au iba kutoka kwa mmiliki halali
|
||
|
|
||
|
# masikani
|
||
|
|
||
|
"nyumba"
|
||
|
|
||
|
# wao ... wao ... wao wenyewe
|
||
|
|
||
|
Maaskari Wakaldayo. Mungu atainua taifa la Wakaldayo, na maaskari Wakaldayo watavamia Uyahudi.
|
||
|
|
||
|
# Wanatisha na kuogofya
|
||
|
|
||
|
Maneno "kutisha" na "ogofya" kimsingi yanamaana kitu kile kile na kusisitiza kwamba kuwafanya wengine waogope sana, NI: "Wanawafanya wengine waogope sana."
|
||
|
|
||
|
# endelea
|
||
|
|
||
|
"kuja"
|