forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
467 B
Markdown
24 lines
467 B
Markdown
|
# Mtu mmoja akamwona Yusufu. Tazama, Yusufu alikuwa akizunguka kondeni
|
||
|
|
||
|
"Mtu mmoja akamkuta Yusufu akizunguka kondeni"
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Hii inaweka alama mwanzo wa tukio jingine katika simulizi kuu. Inaweza kuhusisha watu tofauti kuliko matukio ya nyuma.
|
||
|
|
||
|
# Unatafuta nini?
|
||
|
|
||
|
"Ni nini unatafuta"
|
||
|
|
||
|
# Tafadhari, niambie, wapi
|
||
|
|
||
|
"Tafadhali niambie wapi"
|
||
|
|
||
|
# wananalichunga kundi
|
||
|
|
||
|
"wakichunga kundi"
|
||
|
|
||
|
# Dothani
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mahali ambalo lipo kama kilomita 22 kutoka Shekemu.
|