forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
615 B
Markdown
28 lines
615 B
Markdown
|
# Mamre
|
||
|
|
||
|
Hili lilikuwa jina la mwanamume aliyemiliki mialoni.
|
||
|
|
||
|
# mlangoni pa hema
|
||
|
|
||
|
"katika uwazi wa hema" au "katika kuingilia kwa hema"
|
||
|
|
||
|
# joto la mchana
|
||
|
|
||
|
"wakati wa jua kali la mchana"
|
||
|
|
||
|
# Akatazama juu na, tazama, akaona wanaume watatu wamesimama.
|
||
|
|
||
|
"Alitazama juu na kuona, tazama, wanamume watatu walikuwa wamesimama"
|
||
|
|
||
|
# tazama
|
||
|
|
||
|
"ghafla". Neno "tazama" hapa linatuonyesha kitakachofuata ni cha kushangaza kwa Abrahamu.
|
||
|
|
||
|
# mbele yake
|
||
|
|
||
|
"karibu" au "pale". Walikuwa karibu na yeye, lakini umbali wa kutosha kwa yeye kuwakimbilia.
|
||
|
|
||
|
# kuinama
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana kuinama chini na kuonyesha unyenyekevu na heshima kwa mtu.
|