forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
376 B
Markdown
8 lines
376 B
Markdown
|
# Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya Tera
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii inatambulisha habari ya vizazi vya Tera. Mwanzo 11:27-25:11 unazungumzia kuhusu vizazi vya Tera, mahsusi mwanae Abrahamu. "Hii ni habari ya vizazi vya Tera"
|
||
|
|
||
|
# Harani akafa machoni pa baba yake Tera
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kwamba Harani alikufa wakati baba yake akiwa hai. "Harani alikufa wakati baba yake, Tera, alipokuwa naye"
|