forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
541 B
Markdown
16 lines
541 B
Markdown
|
# waliobaki wa uamisho
|
||
|
|
||
|
Hawa watu wameshikwa na kupelekwa Babeli. lakini walirudi Yerusalem. AT:"baadhi ya watu waliochukuliwa mateka kwenda Babeli na waliorudi yerusalem" au "baadhi ya watu waliorudi kutoka matekani"
|
||
|
|
||
|
# ngombe mia moja...kondoo mia nne
|
||
|
|
||
|
"100 ngombe...400 kondoo
|
||
|
|
||
|
# kuwapa wajibu makuhani na walawi kufanya mgawanyo
|
||
|
|
||
|
jina "mgawanyo wa kazi" unaweza kuelezewa katika msemo "kugawanya kazi katika vikundi" AT: "kugawanya makuhani na walawi katika vikundi vya kazi"
|
||
|
|
||
|
# mgawanyo wa kazi
|
||
|
|
||
|
"vikundi ambavyo vinafanya kazi pamoja"
|