forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
726 B
Markdown
36 lines
726 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Kwa hiyo, wachungaji, lisikilizeni neno la Yahwe
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 34:7.
|
||
|
|
||
|
# Tazama!
|
||
|
|
||
|
Neno "Tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifutacho.
|
||
|
|
||
|
# Niko juu ya wachungaji
|
||
|
|
||
|
"nitawaadhibu wachungaji."
|
||
|
|
||
|
# nitalitaka kundi langu kutoka mkononi mwao
|
||
|
|
||
|
"nitawaadhibu kwa mambo yote mabaya waliyaacha kutokea kwa kundi langu."
|
||
|
|
||
|
# nitawasitisha mbali na kuchunga kundi
|
||
|
|
||
|
"sitawaacha kulichunga kundi tena"
|
||
|
|
||
|
# watajichunga wenyewe
|
||
|
|
||
|
"kujilisha na kujichunga wenyewe"
|
||
|
|
||
|
# kutoka vinywani mwao
|
||
|
|
||
|
"hivyo hawataweza kuwala."
|
||
|
|
||
|
# kundi langu halitakuwa chakula chao tena
|
||
|
|
||
|
"wachungaji hawatawala tena kondoo na mbuzi wa kundi langu"
|