forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
844 B
Markdown
40 lines
844 B
Markdown
|
# Yahwe asema hivi
|
||
|
|
||
|
"Hivi ndivyo Yahwe asemavyo." Hii sentensi inatambulisha ambacho Yahwe atakisema.
|
||
|
|
||
|
# Basi wale
|
||
|
|
||
|
"Katika njia hii" au "Katika namna hii, mataifa"
|
||
|
|
||
|
# anayeisaidia Misri
|
||
|
|
||
|
"anayeisaidia misri"
|
||
|
|
||
|
# wataanguka
|
||
|
|
||
|
"watakufa" au "wataharibiwa"
|
||
|
|
||
|
# kiburi cha nguvu yake kitashushwa
|
||
|
|
||
|
"nguvu ya Misri, ambayo inaifanya ijiinue, itaondoshwa"
|
||
|
|
||
|
# Kutoka Migdoli hata Sewene
|
||
|
|
||
|
Ezekieli ameipa miji majina upande wa mipaka ya Misri ili kuirejea Misri yote.
|
||
|
|
||
|
# maaskari wao watanguka kwa upanga
|
||
|
|
||
|
Maaskari wa Misri watakufa kwa uapnga."
|
||
|
|
||
|
# Wataogofya kati ya nchi zilizotupwa
|
||
|
|
||
|
"Maaskari wa washirika wa Misri wataogopwa wakati watakapoachwa wamezungukwa bila kitu lakini nchi tupu"
|
||
|
|
||
|
# kati ya
|
||
|
|
||
|
"miongoni" au "kuzungukwa na"
|
||
|
|
||
|
# miji yao itakuwa miongoni mwa miji yote iliyoangamizwa
|
||
|
|
||
|
"miji yao itazungukwa na miji iliyoharibiwa karibu na mataifa"
|