forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
581 B
Markdown
20 lines
581 B
Markdown
|
# Nitaweka kisasi changu juu ya Edomu kwa mkono wa watu wangu Israeli
|
||
|
|
||
|
"nitawatumia watu wa Israeli kulipa kisasi juu ya watu wa Edom"
|
||
|
|
||
|
# watafanya kwa Edomu kulingana na hasira yangu na ghadhabu yangu
|
||
|
|
||
|
"wataionyesha Edomu hasira yangu na ghadhabu"
|
||
|
|
||
|
# hasira yangu na ghadhabu yangu
|
||
|
|
||
|
Neno "ghadhabu" kimsingi linamaanisha kitu kimoja na kuongeza neno "hasira." "hasira yangu ya ghadhabu"
|
||
|
|
||
|
# watakijua kisasi changu
|
||
|
|
||
|
"watu wa Edomu watajua ya kuwa nimelipa kisasi juu yao"
|
||
|
|
||
|
# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo
|
||
|
|
||
|
"Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo" "Hivi ndivyo Bwana asemavyo itakuwa"
|