forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
275 B
Markdown
8 lines
275 B
Markdown
|
# umetenda kama kahaba, tamaa za mataifa
|
||
|
|
||
|
Oholiba anatenda kama kahaba pamoja na mataifa kwa sababu wanaume aliolala nao ni alama ya utajiri na nguvu ya haya mataifa.
|
||
|
|
||
|
# nitakiweka kikombe chake
|
||
|
|
||
|
Neno "kikombe" linajea kwa hukumu ya Oholiba. Inawakilisha kitu alichokipokea.
|