forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
729 B
Markdown
28 lines
729 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# kutaka
|
||
|
|
||
|
"kulazimu kuleta"
|
||
|
|
||
|
# malimbuko ya kodi zenu
|
||
|
|
||
|
Hapa "malimbuko" huenda inamaanisha vitu bora miongoni mwa sadaka zote zilizowekwa pembeni kutoa kwa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# vitu vyako vitakatifu
|
||
|
|
||
|
"sadaka ulizoziweka pembeni kunitolea"
|
||
|
|
||
|
# nitakapowatoa kutoka wale watu na kuwakusanya toka nchi ambazo mlizotawanyika
|
||
|
|
||
|
Haya maneno mawili yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza kwamba Yahwe atawarudisha watu wake kutoka mataifa yote ambayo aliyokuwa amewatawanya.
|
||
|
|
||
|
# mlikuwa mmetawanyika
|
||
|
|
||
|
"nimewatawanya."
|
||
|
|
||
|
# Nitajifunua mimi mwenyewe kama mtakatifu ndani yenu kwa ajili ya mataifa waone
|
||
|
|
||
|
"nitakutumia kuonyesha mataifa kwamba mimi ni mtakatifu"
|