forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
333 B
Markdown
12 lines
333 B
Markdown
|
# Neno la Yahwe likaja
|
||
|
|
||
|
"Yahwe akanena neno lake."
|
||
|
|
||
|
# Mwanadamu
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika 2:1.
|
||
|
|
||
|
# kula mkate wako kwa kutetemeka, na kunywa maji yako kwa mtetemo na hofu
|
||
|
|
||
|
"ishi maisha yako ya kila siku kwa hofu kubwa." Kula na kunywa ni mambo ya kawaida yanayofanyika katika maisha na hivyo mwambie Ezekieli kuishi kwa hofu kubwa.
|