forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
541 B
Markdown
20 lines
541 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli.
|
||
|
|
||
|
# na hofu kuu itawafunika
|
||
|
|
||
|
"watajawa na hofu" au "na watakuwa na wasi wasi sana"
|
||
|
|
||
|
# katika siku ya ghadhabu ya Yahwe
|
||
|
|
||
|
"katika siku wakati Yahwe atakapotenda juu ya hasira yake" au "wakati Yahwe atakapowaadhibu"
|
||
|
|
||
|
# hawatashibishwa njaa yao
|
||
|
|
||
|
"hawatakuwa na chakula cha kula"
|
||
|
|
||
|
# uovu wao umekuwa kizuizi
|
||
|
|
||
|
Maana ziwezekanazo 1) "kwa sababu kumiliki dhahabu nyingi na fedha zimewapelekea kuasi" (UDB) au 2) "kwa sababu ni waovu, wanafanya dhambi hiyo inaonyesha jinsi walivyo waovu."
|