forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
788 B
Markdown
24 lines
788 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli na Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# yale ambayo sijawahi kuyafanya na kile ambacho sintokifanya tena
|
||
|
|
||
|
"kama sijawahi kufanya na sintafanya katika njia ile ile tena" au "kama sijawahi kufanya tena na sitafanya tena" (UDB).
|
||
|
|
||
|
# Kwa sababu ya matendo yenu maovu
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu ya matendo yenu yote maovu muyafanyayo." Mungu alikuwa na hasira kwa sababu watu walikuwa wakiabudu sanamu na miungu ya uongo.
|
||
|
|
||
|
# mababa watawala watoto wao kati yenu, na wana watawala baba zao
|
||
|
|
||
|
Huenda Ezekieli anaeleza nini kitatokea hasa wakati watakapo kosa chakula.
|
||
|
|
||
|
# nitatekeleza hukumu juu yako
|
||
|
|
||
|
"nitakuhukumu" au "nitakuadhibu kwa ukali" (UDB)
|
||
|
|
||
|
# na kuwatawanya kila upande wote walio ondoka
|
||
|
|
||
|
"na nitawalazimisha wote walio ondoka kwenda sehemu tofauti tofauti."
|