forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
542 B
Markdown
20 lines
542 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kuongea na Musa jinsi maskani itengenezwe.
|
||
|
|
||
|
# Nawe fanya
|
||
|
|
||
|
Yahweh anazungumza na Musa, hivyo neno "nawe" la muhusu yeye. Yahweh inawezekana alitarajia Musa kumwambia mtu mwingine kufanya kazi, lakini Musa atakuwa ana wajibika kuona kuwa kazi imefanywa sahihi.
|
||
|
|
||
|
# vifungo
|
||
|
|
||
|
Vifungo vintoshea kwenye tanzi kushikilia pazia pamoja.
|
||
|
|
||
|
# nawe lete lile sanduku la ushuhuda
|
||
|
|
||
|
Sanduku la agano ni chombo linalo hifadhi amri.
|
||
|
|
||
|
# Lile pazia litawagawanyia kati ya patakatifu
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
|