forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
385 B
Markdown
16 lines
385 B
Markdown
|
# Yahweh akamwambia Musa, "Nyoosha mkono ... na wapanda farasi wao."
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
|
||
|
|
||
|
# yawarudie
|
||
|
|
||
|
"kuwaangukia"
|
||
|
|
||
|
# Wamisri walikimbilia ndani ya bahari
|
||
|
|
||
|
Tangu bahari ilikuwa inafunga juu ya Wamisri, badala ya kutoroka, walikuwa wanakimbia ndani ya maji.
|
||
|
|
||
|
# Yahweh akawaingiza Wamisri
|
||
|
|
||
|
"Yahweh akawasukuma Wamisri" au "Yahweh akawatupa Wamisri"
|