forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
484 B
Markdown
12 lines
484 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anazungumza kwa Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
|
||
|
|
||
|
# Alikula
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuzungumza na Waisraeli kama "Yakobo" (32:9). Unaweza kutafsiri hiki kana kwamba Musa alikuwa akizungumzia Waisraeli kama watu wengi. "Mababu zetu walikula"
|
||
|
|
||
|
# mafuta ya wanakondoo, kondoo dume wa Bashani na mbuzi
|
||
|
|
||
|
Watu wa Israeli walikuwa na makundi mengi yenye afya ya wanyama.
|