forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
782 B
Markdown
24 lines
782 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Iwapo kaka wanaishi pamoja
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa 1) "kama ndugu wanaishi katika mahali pamoja" au 2) "kama ndugu wanaishi karibu na mwenzake".
|
||
|
|
||
|
# basi mke wa marehemu hatakiwi kuolewa na mtu
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kisha familia ya mtu aliyekufa anapaswa kumruhusu mjane aolewe na mtu"
|
||
|
|
||
|
# na kutekeleza wajibu wa kaka wa mume kwake
|
||
|
|
||
|
"na kufanya kile ambacho kaka wa mume aliyefariki anatakiwa kufanya"
|
||
|
|
||
|
# atarithi chini ya jina la kaka yake mwanamume aliyefariki
|
||
|
|
||
|
Neno "jina" ni lugha nyingine ya ukoo wa mtu. "ataendeleza ukoo wa kaka wa mtu aliyekufa"
|
||
|
|
||
|
# ili jina lake lisiangamie ndani ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Neno "jina" ni lugha nyingine ya ukoo wa mtu. "ili kwamba ukoo wake usipotee kutoka Israeli"
|