forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
424 B
Markdown
16 lines
424 B
Markdown
|
# kutamani kwa roho yake yote
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau. "anatamani sani" au "anataka kweli"
|
||
|
|
||
|
# basi anapaswa kutumika kwa jina la Yahwe Mungu wake
|
||
|
|
||
|
Hapa "jina" uwakilisha Yahwe na mamlaka yake. "kisha anapaswa kumtumikia Yahwe na Mungu wake kama kuhani"
|
||
|
|
||
|
# anasimama huko mbele ya Yahwe
|
||
|
|
||
|
"ambaye anatumika kwenye mahali patakatifu kwa uwepo wa Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# urithi wa familia yake
|
||
|
|
||
|
Hiki ndicho kuhani angeweza kurithi kutoka kwa baba yake
|