forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
732 B
Markdown
24 lines
732 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Jemedari mkuu anaandika barua kwa Gavana Feliki kuhusu kukamatwa kwa Paulo.
|
||
|
|
||
|
# Klaudio Lisia kwa Gavana mheshimiwa Felix, salamu
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia rasmi ya mwanzo wa barua. Mkuu wa jeshi akimaanisha mwenyewe katika nafsi ya tatu. Nina andika kwa Klaudio Lisia, wewe mheshimiwa Liwali Feliki salamu kwako"
|
||
|
|
||
|
# Mheshimiwa Gavana Felix
|
||
|
|
||
|
Feliki alikuwa mtawala wa Kirumi aliyejitakia heshima kuu
|
||
|
|
||
|
# Mtu huyu alikamatwa na Wayahudi
|
||
|
|
||
|
Hapa "Wayahudi" maana yake "baadhi ya Wayahudi." Hii inaweza ikasemwa: "Baadhi ya Wayahudi walimtia mbaroni mtu huyo"
|
||
|
|
||
|
# alikuwa karibu kuuawa
|
||
|
|
||
|
"walikuwa tayari kumwua Paulo
|
||
|
|
||
|
# nikaenda pamoja na kikosi cha askari
|
||
|
|
||
|
Nilikuwa pamoja na maaskari wangu pale Paulo alipokuwa pamoja na Wayahudi
|