forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
440 B
Markdown
12 lines
440 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Fungu hili linazungumzia juu ya wale waliokuwa wagonjwa.
|
||
|
|
||
|
# Mungu alikuwa akitenda makuu kupitia mikono ya Paulo hata waliokuwa wagonjwa waliponywa
|
||
|
|
||
|
Hapa "mikono" linasimamia maisha yote ya Paulo. Mungu alikuwa akimtumia Paulo kutenda miujiza.
|
||
|
|
||
|
# walichukua leso na eproni kutoka mwili wa Paulo
|
||
|
|
||
|
Hivi vilikuwa vitambaa ambavyo Paulo alivivaa ama kuvitumia. Walipovigusa vitambaa amabvyo Paulo alivivaa wakati wa huduma.
|