forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
425 B
Markdown
24 lines
425 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Wayahudi wanaitikia hotuba ya Petro na Petro anawajibu.
|
||
|
|
||
|
# waliposikia hivyo
|
||
|
|
||
|
"wakati watu waliposikia Petro akisema"
|
||
|
|
||
|
# wakachomwa katika mioyo yao
|
||
|
|
||
|
"Maneno ya Petro yaliwachoma mioyo yao" au "kusikia hatia moyoni na kujawa na huzuni"
|
||
|
|
||
|
# kubatizwa
|
||
|
|
||
|
"Turuhusu tupate kubatizwa"
|
||
|
|
||
|
# Ni ahadi kwaajili yako
|
||
|
|
||
|
"Ahadi ni kwaajili yako"
|
||
|
|
||
|
# wale wote walioko mbali
|
||
|
|
||
|
"WAtu wote waliombali na Mungu mioyoni mwao.
|