forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
535 B
Markdown
28 lines
535 B
Markdown
|
# Naapa kwa Yahwe
|
||
|
|
||
|
Yoabu anafanya nadhiri madhubuti.
|
||
|
|
||
|
# Usipokwenda, hakuna mtu hata mmoja atakayebaki
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba askari wangebaki iwapo tu Daudi angekwenda.
|
||
|
|
||
|
# Hakuna atakayesalia
|
||
|
|
||
|
Hii inaonesha wao kubaki watiifu kwake.
|
||
|
|
||
|
# Wote wakaambiwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kuwa wengi wao.
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Hii imetumika kuvuta makini ya mtu kwa ajili ya habari inayofuata.
|
||
|
|
||
|
# Watu wote
|
||
|
|
||
|
Hapa "watu" inahusu waliomfuata Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Israeli walikimbia kila mtu nyumbani kwake
|
||
|
|
||
|
Hapa "Israeli" inahusu askari wa Waisraeli waliomfuata Absalomu.
|