forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
983 B
Markdown
36 lines
983 B
Markdown
|
# kwamba Israeli wote wakusanywe pamoja kwako
|
||
|
|
||
|
Askari wote wanatajwa hapa kama "Israeli wote"
|
||
|
|
||
|
# kutoka Dani hadi Beersheba
|
||
|
|
||
|
Kifungu hiki kinamaanisha kutoka mpaka wa kaskazini hadi mpaka wa kusini wa Israeli
|
||
|
|
||
|
# wengi kama mchanga ulioko ufuweni mwa bahari
|
||
|
|
||
|
Hii ni kuzidisha maana pale chembe zote za mchanga zinalinganishwa na idadi ya askari wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# kwamba wewe mwenyewe unakwenda vitani
|
||
|
|
||
|
Kifungu hiki "binafsi" kinamaanisha kwenda wewe mwenyewe na wala siyo kutuma mtu mwingine.
|
||
|
|
||
|
# kuja juu yake
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana ya kwenda kwake kwa kusudi la kumshambulia.
|
||
|
|
||
|
# tutamfunika kama umande unavyofunika ardhi
|
||
|
|
||
|
Jeshi la Absalomu linaelezwa kulifunika jeshi la Daudi kama umande unavyoifunika ardhi wakati wa asubuhi.
|
||
|
|
||
|
# umande
|
||
|
|
||
|
mvuke unaoanguka juu ya ardhi kama maji na kuifunika ardhi wakati wa usiku na kuacha ardhi imeloa.
|
||
|
|
||
|
# Hatutaacha hata mmojawao ... akiwa hai
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii imetumika kusisitiza kwamba watamwua kila mtu.
|
||
|
|
||
|
# Yeye mwenyewe
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yote yanamtaja Daudi.
|