forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
535 B
Markdown
28 lines
535 B
Markdown
|
# Alipigana
|
||
|
|
||
|
Hapa mwandishi anazungumzia Daudi wakati kwa uhalisia anarejerea kwa Daudi na askari wake.
|
||
|
|
||
|
# Talanta
|
||
|
|
||
|
Kwa vipimo vya sasa ni sawa na "kilo 34"
|
||
|
|
||
|
# Jiwe la thamani
|
||
|
|
||
|
Jiwe la nadra kupatikana kama vile almasi, rubi, na mengine
|
||
|
|
||
|
# Taji iliwekwa katika kichwa cha Daudi mwenyewe
|
||
|
|
||
|
Waliweka taji katika kichwa cha Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Akaondoa
|
||
|
|
||
|
Hapa mwandishi anazungumzia Daudi wakati ki halisia anarejerea kwa askari wa Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Mateka
|
||
|
|
||
|
Vitu vya thamani vinavyochukuliwa kutoka kwa adui aliyeshindwa.
|
||
|
|
||
|
# Kwa wingi
|
||
|
|
||
|
"kiwango" au "idadi"
|